Uongozi wa shule za msingi ukombozi na Engosengiu waishukuru halimashauri ya Jiji la Arusha kwa kuweza kutatua changamoto zilizokua zikiwakabili.

In Kitaifa

Uongozi na wanafunzi wa shule za msingi ukombozi na Ongosengiu zilizopo kata ya sinoni mkoani Arusha, zimeishukuru halmashauri  ya jiji kwa kuweza kutatua changamoto zilizokuwa zikiwakabili, kwa mda mrefu katika shule hizo

Wakizungumza baada ya kutembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ,katika ziara ya kikazi ya kukagua miradi ya maendeleo na kutatua kero zinazowakabili wananchi baadhi ya waalimu wamesema wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya vyoo, na madarasa hali ambayo inawapelekea kuwa na wasiwasi wa magonjwa ya milipuko kama kipindupindu

Aidha kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amekabithi jumla ya madarasa 17 ,katika shule hizo huku akiahidi kujenga vyoo na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili waalimu wa shule hizo

Hata hivyo amewataka waalimu wa shule za msingi na sekondari kufanya kazi kwa ufanisi ,ikiwa ni pamoja na kuwafundisha wanafunzi kwa bidii ili kuweza kujenga Tanzania ya viwanda ambayo Ndio azma ya Seriakali ya Awamu ya Tano .

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu