Urusi na Belarus zimeanza mazoezi makubwa ya pamoja ya kijeshi.

In Kimataifa

Urusi na Belarus zimeanza mazoezi makubwa ya pamoja ya kijeshi, ambayo yamepewa jina Zapad-2017, ambayo yamezitia wasiwasi nchi jirani na wanachama wa shirika la kujihami la nchi za Magharibi la Nato.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Urusi imesema kuwa wanajeshi 12,700 wanashiriki mazoezi hayo, lakini wataalamu wa Nato wamesema kuwa idadi inaweza ikawa iko juu zaidi ya hiyo.

Aidha Rais wa Ukraine, Petro Poroshenko ameonya kuwa Zapad-2017 jina ambalo maana yake kwa Kirusi ni “Magharibi” huenda ikawa ni hatua ya mwisho kabla ya kuivamia Ukraine.

Hata hivyo, Makundi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Urusi tayari wanayashikilia maeneo makubwa ya mashariki mwa Ukraine na wameendelea kukabiliana na wanajeshi wa nchi hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu