Usain Bolt atabiri Man Utd kuwa bingwa EPL.

In Kimataifa, Michezo

 

Usain Bolt anaamini kuwa klabu yake pendwa ya Manchester United, ndio itakayoibuka na Ubigwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu.

Man United inayonolewa na kocha Jose Mourinho, ipo kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza ikiwa na pointi 9, baada ya kushinda michezo yote mitatu iliyocheza mpaka sasa.

Bolt ambaye ni mshindi mara nane wa medali za dhahabu aliyestaafu riadha mwaka huu, alionekana akiwa jukwaani akishuhudia mchezo baina ya Man Utd na Leicester City, ambapo Man Utd waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Bolt anaamini United ndio watakao shinda ubigwa wa ligi kuu msimu huu tangu walipofanya hivyo mwaka 2013.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu