Usain Bolt atabiri Man Utd kuwa bingwa EPL.

In Kimataifa, Michezo

 

Usain Bolt anaamini kuwa klabu yake pendwa ya Manchester United, ndio itakayoibuka na Ubigwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu.

Man United inayonolewa na kocha Jose Mourinho, ipo kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza ikiwa na pointi 9, baada ya kushinda michezo yote mitatu iliyocheza mpaka sasa.

Bolt ambaye ni mshindi mara nane wa medali za dhahabu aliyestaafu riadha mwaka huu, alionekana akiwa jukwaani akishuhudia mchezo baina ya Man Utd na Leicester City, ambapo Man Utd waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Bolt anaamini United ndio watakao shinda ubigwa wa ligi kuu msimu huu tangu walipofanya hivyo mwaka 2013.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu