Usain Bolt atabiri Man Utd kuwa bingwa EPL.

In Kimataifa, Michezo

 

Usain Bolt anaamini kuwa klabu yake pendwa ya Manchester United, ndio itakayoibuka na Ubigwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu.

Man United inayonolewa na kocha Jose Mourinho, ipo kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza ikiwa na pointi 9, baada ya kushinda michezo yote mitatu iliyocheza mpaka sasa.

Bolt ambaye ni mshindi mara nane wa medali za dhahabu aliyestaafu riadha mwaka huu, alionekana akiwa jukwaani akishuhudia mchezo baina ya Man Utd na Leicester City, ambapo Man Utd waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Bolt anaamini United ndio watakao shinda ubigwa wa ligi kuu msimu huu tangu walipofanya hivyo mwaka 2013.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu