Utafiti mpya Chama cha masalaba mwekundua wamegundua mbinu salama ya maziko wakati wa mlipuko wa ugonjwa wa ebola

In Kimataifa

Utafiti mpya wa hivi karibuni umebainisha kwamba mbinu ya maziko salama ulioanzishwa na chama cha msalaba mwekundu wakati wa mlipuko wa ugonjwa wa ebola katika nchi tatu za Afrika Magharibi inaarifiwa umeokoa ama kuponya maisha ya maelfu ya watu.

Inakadiriwa kuwa watu wapatao elfu ishirini na tisa waliokuwa wameambukizwa ugonjwa wa ebola , walio wengi kutoka nchini Guinea, ierra Leone na Liberia, katika kipindi cha miaka ya 2013 na mwaka 2016.

Utafiti huo, umechapishwa katika jarida la PLOS lenye kujihusisha na masuala ya magonjwa ya kitropiki yaliyosahauliwa, limepongeza kazi kubwa iliyofanywa na chama cha msalaba mwekundu walijitolea kwa hali na mali kuzuia matukio zaidi ya elfu kumi .

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu