Inakadiriwa kuwa watu wapatao elfu ishirini na tisa waliokuwa wameambukizwa ugonjwa wa ebola , walio wengi kutoka nchini Guinea, ierra Leone na Liberia, katika kipindi cha miaka ya 2013 na mwaka 2016.
Utafiti huo, umechapishwa katika jarida la PLOS lenye kujihusisha na masuala ya magonjwa ya kitropiki yaliyosahauliwa, limepongeza kazi kubwa iliyofanywa na chama cha msalaba mwekundu walijitolea kwa hali na mali kuzuia matukio zaidi ya elfu kumi .
