Utaratibu wa kuboresha mji wa Dodoma waandaliwa.

In Kitaifa

SERIKALI IMESEMA IMEANZA KUANDAA UTARATIBU WA KUUBORESHA MJI WA DODOMA, IKIWEMO KUZIPITIA SHERIA MBALIMBALI ZILIZOUNDA MAMLAKA YA USTAWISHAJI MAKAO MAKUU( CDA), KWA LENGO LA KUZIFANYIA MAPITIO NA KUZIBORESHA.

HAYO YAMEBAINISHWA  BUNGENI MJINI DODOMA NA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH,KASSIM MAJALIWA ,WAKATI AKIJIBU SWALI LA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA DODOMA  MH,KUNTI MAJALA ALIYETAKA KUJUA NI LINI SERIKALI ITATEKELEZA AHADI YA KUIFUTA MAMLAKA YA USTAWISHAJI MAKAO MAKUU(CDA), KAMA ILIVYOTOLEWA NA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ,WAKATI AKIOMBA RIDHAA KWA WANANCHI WA MANISPAA YA DODOMA KIPINDI CHA KAMPENI.

WAZIRI MKUU AMESEMA SHERIA ILIYOPO SASA IMEIPA CDA MAMLAKA PEKEE YA KUMILIKI ARDHI,HIVYO HIVYO KULETA WAWEKEZAJI NI LAZIMA KUIFUTA MAMLAKA HIYO.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu