Uturuki yatuma msaada wa vifaa vya matibabu nchini Libya ikiwa na msaada wa pili nchini humo kutoka Uturuki tangua kuanza kwa janga la virusi vya corona.
Katika juhudi za kupambana na maambukizi ya virusi vya corona, Uturuki imetuma msaada wa vifaa vya matibabu nchini Libya.
Msaada huo umetolewa na wizata ya afya na kitengo kinachohuiska na matukio ya dharula.
Vifaa hivyo ni kwa ajili ya kurahisha kazi za madaktari katika kukabiliana na virusi vya corona.
Wizara inayoongozwa DR. Tewfik Hireysha amekabidhiwa vifaa hivyo na kutoka Uturuki ikiwa ni ishara ya ushirikiano kati ya Uturuki na Libya.
Dr. Twfik a ametoa shukrani kwa Uturuki kwa kuikumbuka Libya msharika wake katika janga hili ambalo ni tishio ulimwengu mzima.
Msaada huo kutoka nchini Uturuki ni pamoja na barakoa, mavazi maalumu ya wauguzi na vifaa vingine ambavyo hutumiwa katika kujilinda na maambukizi ya virusi.
Aprili 11 Uturuki ilituma msaada wa vifaa vya matibabu nchini Libya