Uundwaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar ZURA wampa matumaini Rais wa Zanzibar.

In Kitaifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, ameeleza matumaini ya kuundwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar ZURA na kuanza kazi zake vyema.

Dk Shein ameyasema hayo Ikulu mjini Zanzibar,alipokutana na uongozi wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira, pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya ZURA na Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA.

Dk Shein amesema ZURA imeweza kuleta matumaini makubwa katika kutatua changamoto zilizokuwapo siku za nyuma, katika suala la uhaba na upandishaji wa bei ya mafuta kiholela, uliokuwa ukitokea na kuleta usumbufu kwa wananchi.

Dk Shein amesema wananchi wanapaswa kuijua na kuitambua ZURA na kazi zake, ili kupeleka malalamiko yao hasa katika suala la bei ya mafuta.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu