Uundwaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar ZURA wampa matumaini Rais wa Zanzibar.

In Kitaifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, ameeleza matumaini ya kuundwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar ZURA na kuanza kazi zake vyema.

Dk Shein ameyasema hayo Ikulu mjini Zanzibar,alipokutana na uongozi wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira, pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya ZURA na Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA.

Dk Shein amesema ZURA imeweza kuleta matumaini makubwa katika kutatua changamoto zilizokuwapo siku za nyuma, katika suala la uhaba na upandishaji wa bei ya mafuta kiholela, uliokuwa ukitokea na kuleta usumbufu kwa wananchi.

Dk Shein amesema wananchi wanapaswa kuijua na kuitambua ZURA na kazi zake, ili kupeleka malalamiko yao hasa katika suala la bei ya mafuta.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu