Vigogo wawili wa Acacia waachia ngazi.

In Kimataifa

Wakati utekelezaji wa makubalino baina ya Serikali na Barrick ukisubiriwa, Ofisa Mtendaji Mkuu na Ofisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni ya Acacia wametangaza kujiuzulu kuanzia leo Alhamisi.
Kwenye barua yake Ofisa Mtendaji Mkuu Bwana Brad Gordon amesema kuwa,anataka kurudi nyumbani Australia kusimamia masuala ya familia yake.
Wakati Ofisa Mkuu wa Fedha Andrew Wray akisema kuwa, yeye amepata fursa nzuri zaidi sehemu nyingine.
Pamoja na uamuzi huo wote wanaendelea kuhudumu kwenye nafasi hizo, wakati wakikabidhi majukumu ya ofisi kwa warithi wao, imesema taarifa ya Acacia iliyotolewa leo Alhamisi asubuhi.
Oktoba 20 Andrew aliwaambia waandishi wa habari kwamba, Acacia haina uwezo wa kulipa kiasi hicho kwa mkupuo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu