Vigogo wawili wa Acacia waachia ngazi.

In Kimataifa

Wakati utekelezaji wa makubalino baina ya Serikali na Barrick ukisubiriwa, Ofisa Mtendaji Mkuu na Ofisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni ya Acacia wametangaza kujiuzulu kuanzia leo Alhamisi.
Kwenye barua yake Ofisa Mtendaji Mkuu Bwana Brad Gordon amesema kuwa,anataka kurudi nyumbani Australia kusimamia masuala ya familia yake.
Wakati Ofisa Mkuu wa Fedha Andrew Wray akisema kuwa, yeye amepata fursa nzuri zaidi sehemu nyingine.
Pamoja na uamuzi huo wote wanaendelea kuhudumu kwenye nafasi hizo, wakati wakikabidhi majukumu ya ofisi kwa warithi wao, imesema taarifa ya Acacia iliyotolewa leo Alhamisi asubuhi.
Oktoba 20 Andrew aliwaambia waandishi wa habari kwamba, Acacia haina uwezo wa kulipa kiasi hicho kwa mkupuo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu