Vigogo wawili wa Acacia waachia ngazi.

In Kimataifa

Wakati utekelezaji wa makubalino baina ya Serikali na Barrick ukisubiriwa, Ofisa Mtendaji Mkuu na Ofisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni ya Acacia wametangaza kujiuzulu kuanzia leo Alhamisi.
Kwenye barua yake Ofisa Mtendaji Mkuu Bwana Brad Gordon amesema kuwa,anataka kurudi nyumbani Australia kusimamia masuala ya familia yake.
Wakati Ofisa Mkuu wa Fedha Andrew Wray akisema kuwa, yeye amepata fursa nzuri zaidi sehemu nyingine.
Pamoja na uamuzi huo wote wanaendelea kuhudumu kwenye nafasi hizo, wakati wakikabidhi majukumu ya ofisi kwa warithi wao, imesema taarifa ya Acacia iliyotolewa leo Alhamisi asubuhi.
Oktoba 20 Andrew aliwaambia waandishi wa habari kwamba, Acacia haina uwezo wa kulipa kiasi hicho kwa mkupuo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu