Vijana Arusha watakiwa kurudisha mikopo.

In Kitaifa


Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh Gabriel Dakaro ameilekeza
Halmashauri ya jiji la Arusha kuwachukulia hatua vijana ambao
hawajarejesha fedha walizokopa kutoka katika mfuko maalum
wa ndani ya Halmashauri ya jiji la Arusha.


Imeelezwa kuwa suala hilo limekwenda kinyume na utaratibu na
wakati huo huo wanawanyima fursa vijana wengine wanaohitaji
mkopo huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu