Viongozi wa dini wapenda sadaka waonywa.

In Kitaifa

Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania, limekemea baadhi ya viongozi wa kidini wanaojipendekeza kwa watu wenye fedha, kwa kutaka kuwaombea ili wapate sadaka nono.

Aidha kanisa hilo limeungana na makanisa ya Uamsho ya Moravian Marekani na duniani kote, kutoa tamko rasmi la kupinga ushoga na usagaji, na kuweka bayana kuwa halitafungisha ndoa za jinsi moja.

Askofu Mkuu wa kanisa hilo Tanzania Emmaus Mwamakula, ameyasema hayo hivi karibuni katika Ibada ya kuwasimika wachungaji, mashemasi na makasisi wa kanisa hilo iliyofanyika katika kanisa la Mbweni Dayosisi Kuu ya Dar es Salaam.

Akizungumza katika ibada hiyo Askofu Mwamakula amesema kuwa, utumishi wa Mungu katika dunia hii umewekwa kwa kusudi la kuleta amani, furaha na umoja katika jamii.

Pia kusaidia waliotindikiwa imani kumkaribia Mungu zaidi na si kujinufaisha wenyewe.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu