Viongozi wa Mashtaka nchini Uganda wanakutana leo kuamua ikiwa wasitishe mgomo.

In Kimataifa
Viongozi wa Mashtaka nchini Uganda wanakutana leo kuamua ikiwa wasitishe mgomo ambao umekuwa ukiendelea kwa karibu wiki moja sasa na kukwamisha kesi Mahakamani wakidai nyongeza ya mshahara.
Hatua hii inakuja baada ya serikali kuwaomba miezi mitatu kushughulikia madai yao na kuwaomba kurejea kazini ili kuepusha msongamano wa kesi mbalimbali nchini humo.
Majaji wamekuwa wakiashirisha kesi nchini Uganda kwa ukosefu wa viongozi hao wa Mashtaka.
Msemaji wa muungano wa Viongozi wa Mashtaka nchini humo Aliwali Kizito, ameiambia runinga ya NBS kuwa mkutano mkuu wa viongozi hao wa mashtaka ndio wanaoweza kusitsiha mgomo huo.
Mgomo huu umesababisha kucheleweshwa pia kwa kesi kuhusu mauaji ya aliyekuwa msemaji wa Polisi Andrew Felix Kaweesi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu