Visa vipya 1,160 vya corona Afrika Kusini vyarekodi kwa siku moja.

In Kimataifa

Afrika Kusini imeripoti visa vipya 1,160 vya maambukizi ya virusi vya corona ambayo ni ya juu kabisa kuwahi kuripotiwa kwa siku moja tangu mwezi Machi ambapo kulirekodiwa kisa cha kwanza. Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya afya nchini humo, jimbo la Western Cape, maarufu kwa utalii limerekodi takriban asilimia 60 ya visa jumla nchini humo, vilivyofikia 15,515. Idadi ya vifo imeongezeka hadi 263, baada ya vifo vingine vitatu kuripotiwa kuanzia juzi, Jumamosi. Afrika Kusini ndiyo yenye idadi kubwa ya maambukizi barani Afrika ikifuatiwa na Misri yenye maambukizi 11,719 na vifo 612.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu