Vituo vya serikali vimekuwa vikicheza nyimbo za vita vya uhuru Zimbabwe

In Kimataifa

Vyombo vya habari vya serikali vimekuwa vikicheza nyimbo za uhuru za kuanzia wakati wa uhuru miaka ya themanini na kurudia matangazo ya Meja Jenerali Sibusiso Moyo.

Jenerali Moyo alitangaza kupitia kituo cha runinga cha serikali nchini Zimbabwe (ZBC) TV kuwa jeshi lilikuwa limetwaa madaraka na kuwa Rais Robert Mugabe alikuwa salama.

Pia kituo cha radio cha serikali nacho kilitangaza taarifa hiyo ya Jenerali Moyo.

Vituo hivyo havijatangaza matangazo mengine.

Nyingi ya nyimbo hizo ni kuhusu vita vilivyoendeshwa na wapiganaji wa nchi hiyo dhidi ya utawala wa wazungu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu