Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeiandikia barua Ofisi ya Bunge vikipinga adhabu iliyotolewa juzi dhidi ya wabunge wawili wa umoja huo, Halima Mdee na Ester Bulaya.

In Kitaifa

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeiandikia barua Ofisi ya Bunge vikipinga adhabu iliyotolewa juzi dhidi ya wabunge wawili wa umoja huo, Halima Mdee na Ester Bulaya.

Aidha umoja huo umeiomba ofisi hiyo kuitisha kikao cha Kamati ya Kanuni, ili ipitie na kutoa uamuzi juu ya upungufu inaodai kujitokeza katika kutoa adhabu dhidi ya wabunge hao.

Juzi Bunge liliazimia kupitisha hoja ya Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe Juliana Shonza CCM, kuwafungia kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge wabunge hao wawili kutokana na utovu wa nidhamu.

Jana hapakuwa na mbunge yeyote wa Chadema bungeni, kutokana na wengi wao kuhudhuria mazishi ya mwasisi wa chama hicho Phillemon Ndesamburo mkoani Kilimanjaro

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu