Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeiandikia barua Ofisi ya Bunge vikipinga adhabu iliyotolewa juzi dhidi ya wabunge wawili wa umoja huo, Halima Mdee na Ester Bulaya.

In Kitaifa

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeiandikia barua Ofisi ya Bunge vikipinga adhabu iliyotolewa juzi dhidi ya wabunge wawili wa umoja huo, Halima Mdee na Ester Bulaya.

Aidha umoja huo umeiomba ofisi hiyo kuitisha kikao cha Kamati ya Kanuni, ili ipitie na kutoa uamuzi juu ya upungufu inaodai kujitokeza katika kutoa adhabu dhidi ya wabunge hao.

Juzi Bunge liliazimia kupitisha hoja ya Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe Juliana Shonza CCM, kuwafungia kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge wabunge hao wawili kutokana na utovu wa nidhamu.

Jana hapakuwa na mbunge yeyote wa Chadema bungeni, kutokana na wengi wao kuhudhuria mazishi ya mwasisi wa chama hicho Phillemon Ndesamburo mkoani Kilimanjaro

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu