Waandamanaji wawili wauawa katika maandamano ya kupinga Serikali nchini Venezuela.

In Kimataifa
   Watu wengine wawili wameuawa katika siku nyingine ya maandamano ya kupinga Serikali nchini Venezuela, ambapo watu waliofariki kwa mwezi uliopita kufika 40.
Waandamanaji wachanga katika mji wa Caracas waliwatupia wanajeshi chupa na kinyesi cha wanadamu, huku maafisa wa usalama wakiwapuliza na gesi ya kutoa machozi na kuwamwagia maji kutoka magari makubwa maalumu ya kuzima ghasia.
Wakati maandamano hayo yakienmdelea, wanaounga mkono serikali nao pia walifanya yao, wakicheza Salsa na kuonesha picha ya aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Hugo Chavez.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu