Wabunge wa bunge la Muungano wamesema kodi inayotozwa Tanzania, bado ni mzigo kwa wafanyabiashara.

In Kitaifa, Siasa

Wabunge wa bunge la Muungano wamesema kodi inayotozwa Tanzania, bado ni mzigo kwa wafanyabiashara.

Wakichangia mjadala wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kifedha wabunge na wafanyakazi wa bunge, wamesema kama kodi itashushwa wanaweza kukusanya zaidi.

Mbunge wa Ilala Mussa Zungu CCM amesema kuwa, pendekezo la kushusha viwango vya tozo katika kodi ya ongezeko la thamani VAT, bado ni kubwa na inapaswa kushushwa kutoka asilimia 18 hadi 16.

Zungu amesema kiwango hicho kinaweza kuwavutia wengi katika kuanzisha biashara, ambako kutawezesha TRA kukusanya mapato zaidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu