Wabunge wa bunge la Muungano wamesema kodi inayotozwa Tanzania, bado ni mzigo kwa wafanyabiashara.

In Kitaifa, Siasa

Wabunge wa bunge la Muungano wamesema kodi inayotozwa Tanzania, bado ni mzigo kwa wafanyabiashara.

Wakichangia mjadala wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kifedha wabunge na wafanyakazi wa bunge, wamesema kama kodi itashushwa wanaweza kukusanya zaidi.

Mbunge wa Ilala Mussa Zungu CCM amesema kuwa, pendekezo la kushusha viwango vya tozo katika kodi ya ongezeko la thamani VAT, bado ni kubwa na inapaswa kushushwa kutoka asilimia 18 hadi 16.

Zungu amesema kiwango hicho kinaweza kuwavutia wengi katika kuanzisha biashara, ambako kutawezesha TRA kukusanya mapato zaidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu