Wabunge wa bunge la Muungano wamesema kodi inayotozwa Tanzania, bado ni mzigo kwa wafanyabiashara.

Wabunge wa bunge la Muungano wamesema kodi inayotozwa Tanzania, bado ni mzigo kwa wafanyabiashara.

Wakichangia mjadala wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kifedha wabunge na wafanyakazi wa bunge, wamesema kama kodi itashushwa wanaweza kukusanya zaidi.

Mbunge wa Ilala Mussa Zungu CCM amesema kuwa, pendekezo la kushusha viwango vya tozo katika kodi ya ongezeko la thamani VAT, bado ni kubwa na inapaswa kushushwa kutoka asilimia 18 hadi 16.

Zungu amesema kiwango hicho kinaweza kuwavutia wengi katika kuanzisha biashara, ambako kutawezesha TRA kukusanya mapato zaidi.

Exit mobile version