Wacka Floka kupambana na magonjwa ya akili

In Burudani, Kimataifa

Rappa kutoka marekani, Wacka Floka, amesema kuanzia sasa atayatoa maisha yake kwa ajili
ya kupambana kuzuia suicide (kujiua) na magonjwa ya akili

Ameyaseka haya kupitia kurasa wake wa twitter ambapo aliweka post iliosema, ‘I am
officially dedicating my life to suicide prevention and mentall illness, ya’ll not alone. Wacka
flocka flame is with ya’ll now’


Msanii huyu hakusema kwa hakika ni nini amepanga kufanya, lakini inahisiwa kwamba hii
imesbabishwa na kumpoteza mdogo wake mwaka 2013 ambae alijiua akiwa na miaka 22, na
swala hili lilimsumbua wacka floka kwa muda mrefu sana ambapo katika moja ya interview
aliofanya mwaka 2017, alisema kwamba tangu kumpoteza kayo ambae ni mdogo wake
maisha yake hayajakuwa kama mwanzo, kuna kipindi alilazimika kuwa mlevi na kutumia
madawa ya kulevya ili tu awe amekimbia uhalisia wa mambo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu