Wacka Floka kupambana na magonjwa ya akili

In Burudani, Kimataifa

Rappa kutoka marekani, Wacka Floka, amesema kuanzia sasa atayatoa maisha yake kwa ajili
ya kupambana kuzuia suicide (kujiua) na magonjwa ya akili

Ameyaseka haya kupitia kurasa wake wa twitter ambapo aliweka post iliosema, ‘I am
officially dedicating my life to suicide prevention and mentall illness, ya’ll not alone. Wacka
flocka flame is with ya’ll now’


Msanii huyu hakusema kwa hakika ni nini amepanga kufanya, lakini inahisiwa kwamba hii
imesbabishwa na kumpoteza mdogo wake mwaka 2013 ambae alijiua akiwa na miaka 22, na
swala hili lilimsumbua wacka floka kwa muda mrefu sana ambapo katika moja ya interview
aliofanya mwaka 2017, alisema kwamba tangu kumpoteza kayo ambae ni mdogo wake
maisha yake hayajakuwa kama mwanzo, kuna kipindi alilazimika kuwa mlevi na kutumia
madawa ya kulevya ili tu awe amekimbia uhalisia wa mambo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu