Wafanyakazi wote wa serikali ya Iraq wachukua likizo kwa lazima.

In Kimataifa

Waziri mku wa Iraq Haider al-Abadi ameamrisha wafanyakaziwote wa serikali kuchukua likizo leo Alhamis kutokana na kuwepo viwango vya juu zaidi vya joto.

Watabiri wa hali ya hewa wanatarajia viwango vya joto kwenye mji mkuu Baghdad kufikia nyuzi 50C leo alasiri

Jito jingi pia linatarajiwa miji ya Basra na Mosul,Joto hilo jingi linaweza kusababisha ukosefu wa nguvu za umeme.

Viwango vya juu vya joto vinashuhudiwa kote eneo hilo na tayari vimeathiri maeneo ya bara la Ulaya siku za hivi karibuni.

Wanasayansi wanaonya kuwa hali hiyo inaweza kusababisha vifo vya watu Elfu hamsini na mbili barani Ulaya mwaka 2100.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu