Wafuasi 12 wa CHADEMA wapata dhamana.

In Kitaifa, Siasa

Wafuasi 12 wa CHADEMA wamefikishwa Mahakama ya Mwanzo Maromboso leo tarehe 6.11.2017 na kusomewa makosa mawili, kosa la kwanza ni kufanya fujo ambapo inadaiwa walimfanyia fujo ndugu Juma Jumanne.

Kosa la pili shambulio la kawaida ambapo inadiwa walimshambulia mlalamikaji kwa kumpiga ngumi na sehemu mbalimbali za mwili.

Hakimu Obadia Mathias Mongi wa Mahakama ya Mwanzo Maromboso alisema Dhamana ya wafuasi hao ipo wazi kwa sharti lakuwa na wadhamini wawili na ahadi ya shilingi laki sita kwa kila mmoja.
Washtakiwa wote wametimiza sharti la dhamana

Washtakiwa wote wametakiwa kufika Mahakamani tena siku ya Alhamisi tarehe16.11.2017.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu