Wafuasi 12 wa CHADEMA wapata dhamana.

In Kitaifa, Siasa

Wafuasi 12 wa CHADEMA wamefikishwa Mahakama ya Mwanzo Maromboso leo tarehe 6.11.2017 na kusomewa makosa mawili, kosa la kwanza ni kufanya fujo ambapo inadaiwa walimfanyia fujo ndugu Juma Jumanne.

Kosa la pili shambulio la kawaida ambapo inadiwa walimshambulia mlalamikaji kwa kumpiga ngumi na sehemu mbalimbali za mwili.

Hakimu Obadia Mathias Mongi wa Mahakama ya Mwanzo Maromboso alisema Dhamana ya wafuasi hao ipo wazi kwa sharti lakuwa na wadhamini wawili na ahadi ya shilingi laki sita kwa kila mmoja.
Washtakiwa wote wametimiza sharti la dhamana

Washtakiwa wote wametakiwa kufika Mahakamani tena siku ya Alhamisi tarehe16.11.2017.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu