Wafungwa 35 wauawa Gerezani.

In Kimataifa

 

Gavana wa jimbo la Amazonas nchini Venezuela, amesema zaidi ya wafungwa 35 wameuawa katika kile kilichoitwa mauaji ndani ya gereza.

Kikosi maalumu cha jeshi cha Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo, kimepelekwa kudhibiti hali ndani ya gereza katika mji mkuu wa jimbo hilo Puerto Ayacucho.

Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa, walisikia milio ya risasi kwa saa kadhaa ndani ya gereza hilo.

Hakuna kauli yoyote iliyotolewa na serikali mpaka sasa,juu ya vifo vya wafungwa hao.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu