Wafungwa 35 wauawa Gerezani.

In Kimataifa

 

Gavana wa jimbo la Amazonas nchini Venezuela, amesema zaidi ya wafungwa 35 wameuawa katika kile kilichoitwa mauaji ndani ya gereza.

Kikosi maalumu cha jeshi cha Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo, kimepelekwa kudhibiti hali ndani ya gereza katika mji mkuu wa jimbo hilo Puerto Ayacucho.

Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa, walisikia milio ya risasi kwa saa kadhaa ndani ya gereza hilo.

Hakuna kauli yoyote iliyotolewa na serikali mpaka sasa,juu ya vifo vya wafungwa hao.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu