Wagner atajwa kuwa mhalifu wa kivita.

In Kimataifa

Mwanasheria mkuu wa Marekani siku ya Jumatano alimtaja Yev-geny Prig-ozhin mkuu wa jeshi la mamluki la Russia Wagner linalopigana nchini Ukraine kuwa ni  mhalifu wa kivita.

Mwanasheria Mkuu Merrick Garland alikiambia kikao cha Seneti kwamba wizara ya Sheria inaisaidia Ukraine kuchunguza uhalifu wa kivita unaodaiwa kufanywa tangu uvamizi wa Russia ikiwa ni pamoja na kundi la kijeshi la Wagner.

Bwana Prig-ozhin, ambaye anashughulikia suala hilo, kwa maoni yangu ni mhalifu wa vita, Garland aliambia kikao hicho.

Labda hiyo haifai kwa mimi kusema kama jaji kabla ya kupata ushahidi wote. Lakini nadhani tuna ushahidi wa kutosha kwa wakati huu kwangu kuhisi hivyo.

Kundi hilo, ambalo linahusika na mashambulizi dhidi ya Waukraine katika mkoa wa Donbass, ikiwa ni pamoja na kuwaleta wafungwa kutoka katika magereza ya Russia ni jambo lisiloeleweka wanalolifanya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu