Wagombea wawili waenguliwa Meru Nassari akata rufaa.

In Kitaifa

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari amekata rufaa kupinga hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wake wawili waliopitishwa kugombea udiwani kwenye uchaguzi mdogo wa marudio unaofanyika katika kata tan0 Jimbo la Arumeru Mashariki.

Mwanasheria wa CHADEMA anayesimamamia mapingamizi hayo Shedrack Mfinanga amethibitisha kuandika barua ya malalamiko kwa tume ya uchaguzi kupitia kwa msimamizi wa uchaguzi mdogo wa madiwani katika halmashauri ya Meru Ramadhani Madili.

Amesema msimamizi huyo wa uchaguzi ana sifa ya kuwaengua wagombea udiwani sio kazi yake na alipaswa kupeleka mapendekezo yake kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ili aweze kuyatolea uamuzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu