Wagombea wawili waenguliwa Meru Nassari akata rufaa.

In Kitaifa

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari amekata rufaa kupinga hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wake wawili waliopitishwa kugombea udiwani kwenye uchaguzi mdogo wa marudio unaofanyika katika kata tan0 Jimbo la Arumeru Mashariki.

Mwanasheria wa CHADEMA anayesimamamia mapingamizi hayo Shedrack Mfinanga amethibitisha kuandika barua ya malalamiko kwa tume ya uchaguzi kupitia kwa msimamizi wa uchaguzi mdogo wa madiwani katika halmashauri ya Meru Ramadhani Madili.

Amesema msimamizi huyo wa uchaguzi ana sifa ya kuwaengua wagombea udiwani sio kazi yake na alipaswa kupeleka mapendekezo yake kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ili aweze kuyatolea uamuzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu