Wagonjwa wa akili waongezeka Tanzania.

In Afya, Kitaifa

 

 

Tafiti zilizotolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto zinaonyesha kuwa, magonjwa ya akili yameongezeka kutoka wagonjwa laki 6 mwaka 2014-2015, hadi kufikia wagonjwa laki 7 kwa mwaka 2015-2016.

Takwimu hizo zimetolewa na Kaimu Mkurugenzi Kitengo cha Magonjwa yasiyopewa kipaumbele, katika wizara ya afya nchini Bw Shadrack Buswelu kwenye mafunzo kwa watumishi wa magereza na hospitali za mikoa.

Amesema kinachochangia ongezeko la ugonjwa wa akili kuongezeka nchini, ni mfumo wa maisha ulivyo kwa sasa, magonjwa sugu na matumizi ya dawa za kulevya.

Kwa upande wake Mratibu wa Magereza SP Wambili Bwatai, amesema tatizo la magonjwa ya akili gerezani ni mara mbili ya wagonjwa waliopo nje.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu