Wagonjwa wa corona wagundulika kwenye kambi za warohingya.

In Kimataifa

Wafanyakazi wa afya leo wameanza juhudi za kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona kwenye kambi inayowahifadhi karibu wakimbizi milioni 1 wa jamii ya wachache ya waislamu wa Rohingya baada ya kurikodiwa kisa cha kwanza cha virusi hivyo Mtu mmoja kutoka jamii ya wakimbizi hao na mkaazi mwingine wa wilaya ya Cox´s Bazar iliyopo kusini ya Bangladesh wamegundulika kuwa na virusi vya corona na tayari wametengwa.

Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kushughulikia wakimbizi amesema watoa huduma za afya tayari wameanza kuwahudumia wagonjwa hao wawili, pamoja na kuwafuatilia wote waliokutana nao kwa lengo la kuwaweka karantini.

Kwa muda mrefu kumekuwa na wasiwasi kwamba virusi vya corona vitasambaa kwa kasi iwapo vitaingia katika kambi 34 zinazowahifadhi wakimbizi wa Rohingya kutokana na hali duni ya miundumbinu kwenye maeneo hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu