Wahadhiri wa vyuo vikuu vya serikali nchini Kenya wasitisha mgomo.

In Kimataifa

Wahadhiri wa vyuo vikuu vya serikali nchini Kenya wamesitisha mgomo baada ya serikali kuahidi kuwalipa zaidi mara moja, kulingana na taarifa za jana za viongozi wa muungano wa wahadhiri wa vyuo vikuu nchini humo.

Wanachama wa Muungano wa Vyuo Vikuu UASU walimaliza mgomo wa siku 54 unaohusu malipo mwezi Febuari na kusaini mkataba na serikali mwezi Machi wa ongezeko la malipo la asilimia 17.5 na asilimi 3.9 katika posho za makaazi.

Lakini walianzisha mgomo mpya mwezi huu juu ya utekelezaji wa malipo hayo waliyokubaliana na serikali.

Muungano wa UASU umesema serikali imetoa kiasi cha shilingi bilioni 5 mwezi huu za kuwalipa wanachama wa muungano huo na hiyo ndiyo sababu ya kusitisha mgomo wao.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu