Wakuu wa biashara wa Korea Kusini wanasema, Uchina imeiuzia Korea Kaskazini magari, televisheni, na simu za mkononi nyingi zaidi mwaka jana, ikionyesha kuwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa haivikuathiri mahitaji ya Korea Kaskazini kwa bidhaa hizo.

In Kimataifa

Wakuu wa biashara wa Korea Kusini wanasema, Uchina imeiuzia Korea Kaskazini magari, televisheni, na simu za mkononi nyingi zaidi mwaka jana, ikionyesha kuwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa haivikuathiri mahitaji ya Korea Kaskazini kwa bidhaa hizo.

Data za Korea Kusini, zinaonyesha kuwa mauzo ya televisheni kutoka Uchina kwa Korea Kaskazini, yameongezeka zaidi ya asilimia mia moja katika mwaka mmoja, baada ya Korea Kaskazini kuanzisha utangazaji wa kidijitali.

Na mauzo ya simu pia kutoka Uchina, katika miezi mitatu ya awali mwaka huu, yalizidi dola milioni 25 zaidi ya mara dufu kushinda kipindi kama hicho mwaka jana.

Uchina imeacha kununua makaa kutoka Korea Kaskazini, kufuatana na vikwazo vya Umoja wa Mataifa, lakini inaendelea kusaidia uchumi wa huko kukua taratibu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu