Wakuu wa wilaya na wakurugenzi watendaji wapewa onyo kuacha kushindana wenyewe kwa wenyewe.

In Kitaifa
WAKUU wa Wilaya  na Wakurugenzi Watendaji  wameonywa kuacha kushindana  wenyewe kwa wenyewe,  na kuendeleza migongano badala isiyo na tija  badala yake  washirikiane kwa kuwa  wanategemeana , katika kutekeleza  Majukumu yao.
Onyo hilo lilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene mjini Dodoma jana wakati akifungua semina elekezi kwa viongozi hao wa mikoa sita kutoka Kanda ya Ziwa.
Simbachawene  amewataka wachukuliane hali, hisia, tabia na wavumiliane na kushirikiana ,badala ya kuonesheana ubabe na kila mmoja kujiona ana madaraka kuliko mwenzie.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Tamisemi), Mussa Iyombe amewataka  viongozi  hao kujifunza kwa bidii katika semina hiyo, kujua vizuri  Majukumu yao na Mipaka ya kazi yao badala ya kukaa siku tano na kurudi watupu.
Mafunzo hayo  yamewashirikisha  viongozi kutoka mikoa ya Mara, Mwanza, Kagera, Simiyu, Manyara na Geita,

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu