Waliokamatwa Saudia ni wavuvi sio Wanajeshi Iran yakanusha.

In Kimataifa

Iran inasema kuwa watu watatu waliokamatwa na wanamaji wa Saudia siku ya Ijumaa ni wavuvi na wala sio wanajeshi wake.

Mkuu wa maswala ya mipakani katika wizara ya maswala ya ndani nchini humo Majid Aghababaie alisema kuwa utambulisho wa unajulikana na kwamba na kwamba hakuna ushahidi kwamba walikuwa wanajeshi.

Saudia iliwakamata wakati boti yao ilipokuwa ikiwasili karibu na ufukwe mmoja wa bahari ulio na mafuta na kusema kuwa ni wanachama wa jeshi la Iran.

Kitengo cha habari cha Saudia kilitangaza kuwa shambulio la kigaidi katika eneo hilo la mafuta limetibuliwa.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu