Waliokamatwa Saudia ni wavuvi sio Wanajeshi Iran yakanusha.

In Kimataifa

Iran inasema kuwa watu watatu waliokamatwa na wanamaji wa Saudia siku ya Ijumaa ni wavuvi na wala sio wanajeshi wake.

Mkuu wa maswala ya mipakani katika wizara ya maswala ya ndani nchini humo Majid Aghababaie alisema kuwa utambulisho wa unajulikana na kwamba na kwamba hakuna ushahidi kwamba walikuwa wanajeshi.

Saudia iliwakamata wakati boti yao ilipokuwa ikiwasili karibu na ufukwe mmoja wa bahari ulio na mafuta na kusema kuwa ni wanachama wa jeshi la Iran.

Kitengo cha habari cha Saudia kilitangaza kuwa shambulio la kigaidi katika eneo hilo la mafuta limetibuliwa.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu