Wamachinga wametakiwa kwenda kuchukua vitambulisho vipya

In Kitaifa

Wajasiriamali wadogo jijini Arusha maarufu kama wamachinga wametakiwa kwenda kuchukua vitambulisho vipya vya awamu ya pili ili kuweza kuepukana na changamoto ya kufukuzwa na askari migambo kwenye sehemu zao za kazi

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo, Afisa mtendaji wa kata ya Olorien Nemes Matem amesema kuwa  kata hivyo imeshaanza mchakato wa mtaa kwa myaa katika kuhakikisha kila mjasiriamali mdogo anapata kwa wakati ili aweze kuendelea na biashara zao

Amesma kuwa, vitambulisho hivyo vina faida kubwa ikiwa ni pamoja na wajasiriamali kufanya biashara zao kwa uhuru, na kuweza kuipatia nchi kipato wakati Rais akiendelea kusisitiza juu ya Tanzania ya viwanda

Hata hivyo amewataka wafanyabiashara kuachana na mambo ya siasa na badala yake wavilipie kwa wakati na kuendelea na biashara zao

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu