Wamiliki wa klabu ya Leicester City washtakiwa.

In Kimataifa, Michezo

Wamiliki wa klabu ya Leicester City nchini Uingereza wamedaiwa kushtakiwa kwa umiliki wa £323m zinazodaiwa na serikali ya Thai.

Mahakama ya jinai nchini Bangkok ilikubali kesi dhidi King Power International siku ya Jumatatu , kulingana na shirika la habari la Reuters.

Kesi hiyo pia itawasilishwa dhidi ya maafisa wanaomiliki uwanja wa ndege wa taifa wa Thailand(AOT) Reuters imesema.

BBC imewasiliana na klabu hiyo ya Leicester City FC , King Power na AOT kwa maoni yao.

Makahakama hiyo inailaumu King Power kwa kukosa kuilipa serikali ya Thai bilioni 14 baht (£323m) kutoka kwa operesheni ya kufanya biashara bila kulipa ushuru tangu mwaka 2006.

Kwa kusikilizwa kwa kesi hiyo siku ya Jumatatu , mahakama hiyo ya jinai huko Bangkok iliikubali kesi hiyo na kusema iko tayari kusikiliza upande wa ushahidi mwezi Februari mwaka ujao.

Hatua hiyo dhidi ya kampuni ya King Power, inayomilikiwa na Vichai Srivaddhanaprabha na familia yake iliwasilishwa mwezi Julai.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu