Wana kilindi waiangukia serikali ubovu wa barabara.

In Kitaifa

Wananchi wilayani Kilindi mkoani Tanga,wameiomba serikali
kuharakisha mradi wa ujenzi wa barabara ya kiwango Cha lami
kutoka Handeni hadi kiteto mkoani Manyara Ili kurahisisha
shughuli za kiuchumi ikiwemo usafirishaji wa mazao.


Rai hiyo wameitoa wakati Makamu wa pili wa Rais wa serikali
ya mapinduzi ya Zanzibar Hemed Suleiman Abdula,alipowasili
kwa ajili ya mkutano wake na viongozi mbalimbali wa kichama
na serikali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu