Wanachama wa mifuko ya jamii watakiwa kulipwa mafao yao.

In Kitaifa
   Wanachama wa mifuko ya jamii wametakiwa kulipwa mafao yao kwa mujibu wa sheria na taratibu za utumishi wa umma zilizopo pasipo kuangali mfanyakazi ameacha au kuachishwa kazi.
Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa utekelezaji na usajili SSRA Lightness Mauki Katika mkutano wa baraza la 24 la wafanyakazi mkoani morogoro ambapo amesema kuwa sheria za mifuko ya jamii na utumishi wa umama zinatoa vigezo mmoja kwa moja namna mtu atakavyolipwa mafao baada kwa kuacha kazi mwenyewe ama kuachishwa kazi .
Akiongea wakati wa kufunga mkutano wa baraza hilo mkurugenzi msaidizi wa utawala wizara ya elimu Steven Pancras ameseama kuwa leno la serikali katika elimu ni kuhakikisha wanainua kiwango na ubora wa elimu na mafunzo katika ngazi zote kuimalisha uwezo wan chi katika kuendeleza mafunzo ya sayansi na tecknolojia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu