Wanachama wa mifuko ya jamii watakiwa kulipwa mafao yao.

In Kitaifa
   Wanachama wa mifuko ya jamii wametakiwa kulipwa mafao yao kwa mujibu wa sheria na taratibu za utumishi wa umma zilizopo pasipo kuangali mfanyakazi ameacha au kuachishwa kazi.
Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa utekelezaji na usajili SSRA Lightness Mauki Katika mkutano wa baraza la 24 la wafanyakazi mkoani morogoro ambapo amesema kuwa sheria za mifuko ya jamii na utumishi wa umama zinatoa vigezo mmoja kwa moja namna mtu atakavyolipwa mafao baada kwa kuacha kazi mwenyewe ama kuachishwa kazi .
Akiongea wakati wa kufunga mkutano wa baraza hilo mkurugenzi msaidizi wa utawala wizara ya elimu Steven Pancras ameseama kuwa leno la serikali katika elimu ni kuhakikisha wanainua kiwango na ubora wa elimu na mafunzo katika ngazi zote kuimalisha uwezo wan chi katika kuendeleza mafunzo ya sayansi na tecknolojia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu