Wanafunzi wa shule ya st.Mary Goretti watembelea kituo cha Radio5fm.

In Kitaifa

Wanafunzi wa shule ya st.Mary Goretti pre & Primary School leo wametembelea kituo cha Radio5fm Arusha

na kujifunza jinsi kinavyorusha matangazo yake.

Mkuu wa vipindi Semio Sonyo akitoa maelekezo mbalimbali kwa wanafunzi

wa St.Mary Goretti.

Wanafunzi wa St.mary Goretti wakiwa katika studio za Radio5fm.

Mwanafunzi wa St.Mary Goretti Noreen aliyeonekana kinara wa kuuliza maswali.

Picha ya pamoja wanafunzi wa shule ya St.Marry Goretti na Mkurugenzi

wa kituo cha Radio5fm ndg Robert Francis

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu