Wanafunzi wa shule ya st.Mary Goretti watembelea kituo cha Radio5fm.

In Kitaifa

Wanafunzi wa shule ya st.Mary Goretti pre & Primary School leo wametembelea kituo cha Radio5fm Arusha

na kujifunza jinsi kinavyorusha matangazo yake.

Mkuu wa vipindi Semio Sonyo akitoa maelekezo mbalimbali kwa wanafunzi

wa St.Mary Goretti.

Wanafunzi wa St.mary Goretti wakiwa katika studio za Radio5fm.

Mwanafunzi wa St.Mary Goretti Noreen aliyeonekana kinara wa kuuliza maswali.

Picha ya pamoja wanafunzi wa shule ya St.Marry Goretti na Mkurugenzi

wa kituo cha Radio5fm ndg Robert Francis

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu