Wanafuzi 3 waliokua wakipata matibabu Marekani kurejea Nchini ijumaa.

In Kitaifa

Wanafunzi 3 wa Shule ya Msingi ya Lucky Vincent ya mkoani Arusha waliojeruhiwa katika ajali ya basi Mei 6 mwaka huu, wanatarajia kuwasili nchini Ijumaa kutoka nchini Marekani walikokuwa wakipata matibabu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa na Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu,watoto hao wanatarajiwa kuwasili nchini Ijumaa saa 3 asubuhi, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA.

Wanafunzi hao ni Dorin Mshana, Sadia Awadhi na Wilson Tarimo, ambao walipelekwa nchini humo Mei 14 mwaka huu, kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Mercy Medical iliyoko Sioux City.

Nyalandu ambaye ni mmoja wa waasisi wa Taasisi ya Stem iliyoratibu safari ya majeruhi hao kwenda Marekani, amewaomba watanzania kujitokeza kwa wingi kuwapokea watoto hao ijumaa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu