Wanamgambo wasababisha vifo vya watu 5 na majeruhi 11 huko misri.

In Kimataifa
Wanamgambo wa misimamo mikali ya kidini wamefanya mfululizo wa mashambulizi dhidi ya maafisa wa polisi wa Misri katika rasi ya kaskazini ya Sinai hapo jana, na kusababisha vifo vya watu watano na kujeruhi wengine 11.
Maafisa wamesema wanamgambo hao waliifyatulia risasi gari ya kijeshi kabla ya kuichoma moto katika mji wa el-Arish.
Vikosi vya usalama vilipowasili katika eneo hilo, wanamgambo hao walirusha bomu pembezoni mwa barabara.
Mapema jana, ndege za kivita za Misri za aina ya F-16 zilishambulia mikusanyiko ya watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo, katika maeneo kadhaa ya kaskazini mwa Sinai, na kuwauwa watu 30.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu