Wanamgambo wasababisha vifo vya watu 5 na majeruhi 11 huko misri.

In Kimataifa
Wanamgambo wa misimamo mikali ya kidini wamefanya mfululizo wa mashambulizi dhidi ya maafisa wa polisi wa Misri katika rasi ya kaskazini ya Sinai hapo jana, na kusababisha vifo vya watu watano na kujeruhi wengine 11.
Maafisa wamesema wanamgambo hao waliifyatulia risasi gari ya kijeshi kabla ya kuichoma moto katika mji wa el-Arish.
Vikosi vya usalama vilipowasili katika eneo hilo, wanamgambo hao walirusha bomu pembezoni mwa barabara.
Mapema jana, ndege za kivita za Misri za aina ya F-16 zilishambulia mikusanyiko ya watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo, katika maeneo kadhaa ya kaskazini mwa Sinai, na kuwauwa watu 30.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu