Wananchi Mkoani Pwani wahimizwa kushirikiana katika masuala ya kijamii.

In Kitaifa
   Wananchi mkoa wa Pwani wamehimizwa kushirikiana katika masuala ya kijamii, ikiwemo suala la usalama na kilimo cha matunda na zao la korosho na kuondokana na masuala ya migogoro ya wafugaji na wakulima, ambayo imekuwa ikigharimu maisha ya watu.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo alipokuwa akihitimisha ziara yake wilayani Kibaha, amesema kuwa mkoa wa Pwani una viwanda vitatu vikubwa vya kusindika matunda kwa sasa ambavyo endapo wakulima watavitumia watanufaika kwa kiasi kikubwa.
Hata hivyo katika hatua nyingine, Mhandisi Ndikilo amewaomba wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kukimbilia kuwekeza mkoani Pwani kwani mkoa huo unaelekea kuwa ukanda wa viwanda na uwekezaji.
uishi kwa amani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu