Wananchi Mkoani Pwani wahimizwa kushirikiana katika masuala ya kijamii.

In Kitaifa
   Wananchi mkoa wa Pwani wamehimizwa kushirikiana katika masuala ya kijamii, ikiwemo suala la usalama na kilimo cha matunda na zao la korosho na kuondokana na masuala ya migogoro ya wafugaji na wakulima, ambayo imekuwa ikigharimu maisha ya watu.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo alipokuwa akihitimisha ziara yake wilayani Kibaha, amesema kuwa mkoa wa Pwani una viwanda vitatu vikubwa vya kusindika matunda kwa sasa ambavyo endapo wakulima watavitumia watanufaika kwa kiasi kikubwa.
Hata hivyo katika hatua nyingine, Mhandisi Ndikilo amewaomba wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kukimbilia kuwekeza mkoani Pwani kwani mkoa huo unaelekea kuwa ukanda wa viwanda na uwekezaji.
uishi kwa amani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu