Wananchi wa Angola wapiga kura leo………

In Kimataifa

 

Raia nchini Angola leo wameingia katika uchaguzi kwa kupiga kura ya kumchagua rais mpya wa taifa hilo.

Rais Jose Eduardo dos Santos amekuwa madarakani tangu mwaka 1979, na kuwa rais wa pili barani Afrika kuwa madarakani kwa kipindi kirefu zaidi.

Rais Santos hawanii tena uchaguzi huu ambao waziri wa ulinzi Joao Lourenco, anawania kama mgombea kupitia chama tawala cha MPLA.

Mpinzani wake mkuu anatarajiwa kuwa Isias Samakuva, kutoka chama cha hasimu wa MPLA Unita.

Wachangazi wanasema kuwa chama cha MPLA ambacho kimekuwa madarakani tangua uhuru wa nchi hiyo mwaka 1975, kinaonekana kuwa kitaibuka mshindi.

Baada ya vita Angola ilikuwa moja ya nchi zilizokuwa na uchumi uliikua kwa haraka zaidi duniani, kutona na utajiri wake mkubwa wa mafuta.

Lakini wakati bei ya mafuta ilishuka miaka miwili iliyopita iliadhiri uchumi wote wan chi hiyo.

Ikiwa asimia kubwa ya watu wako chini ya umri wa maiak 35, hao ndio watakuwa na uamuzi mkubwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu