Wananchi wamelalamikia kiwango cha juu cha gharama za viingilio kwenye Maonesho ya 41 ya Bisahara.

In Kitaifa
Wananchi wamelalamikia kiwango cha juu cha gharama za viingilio kwenye Maonesho ya 41 ya Bisahara ya Kimataifa ya Dar es salaam, maarufu kama sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Barabara ya Kilwa kwamba ni vikubwa ikilinganishwa na hali ya maisha ya wakati huu.
Wakizungumza na wanahabari wananchi hao wamesema gharama hiyo ya kiingilio cha juu cha shilingi 4000 za kitanzania ni kubwa ikilinganishwa na shilingi 2500 za mwaka jana, hali ambayo imesababisha wengi kutoweza kumudu kutokana na kile walichodai hali ngumu ya maisha iliyopo kwa sasa .
Baada ya Malalamiko hayo wanahabari walilifanikiwa kuzungumza na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusinao wa Umma kutoka Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara TANTRADE ambao ndio waandaji wa Maonesho hayo.
Hata hivyo Kwa mujibu wa Tantrade, hakutakuwa na mabadiliko ya gharama kwa siku tano za nyongeza za maonesho hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu