Wanaomiliki silaha kinyume na sheria zimebaki siku 19 tu.

In Kitaifa

Jeshi la Polisi katika mkoa wa Simiyu,limetoa wito kwa wale
wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria,kuhakikisha kuwa
wanazisalimia silaha hizo ndani ya muda waliopewa zikiwa
zimesali siku 19 tu.


Wito huo umetolewa na kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu
ACP Edith Swebe alipokuwa akizungumza na wanahabari na
kueleza kuwa,baada ya kipindi hicho kumalizika takayepatikana
na silaha kinyume cha sheria hatua kali zitachukuliwa dhidi
yake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu