Wanaotaka kuendeleza Mapigano Sudan sasa waone aibu-Mamabolo

In Kimataifa

Kwa kuwa hali ya amani na usalama nchini Sudan imeanza kubadilika na kuwa nzuri, sasa ni wakati muafaka kwa pande zote kinzani kutumia fursa hiyo na kumaliza kabisa mzozo ulioanza nchini humo mwaka 2003.

 

Mkuu wa ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika, huko Darfur, UNAMID Jeremiah Mamabolo amesema hayo akizungumza na Idhaa ya Umoja wa Mataifa akisema kuwa fursa ya sasa ni ya kipekee na haijawahi kutokea.

 

Amesema sitisho la mapigano linazingatiwa na wale wanaotaka kupigana wanapaswa kuona aibu kwa kuwa mazingira muafaka ya kumaliza mzozo huo ni pamoja na …

 

“Kuondolewa kwa vikwazo kulikofanywa na Marekani, na maazimio chanya kutoka mkutano wa viongozi wa Muungano wa Afrika kuhusu Sudan na ukanda mzima ambapo watu wanawatakia mema wasudan. Hivyo basi wao wenyewe wanatakiwa kutambua hilo na kumaliza machungu haya ambayo yamewafika wananchi kutokana na vita hivi.”

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu