Wanne Wajeruhiwa ajalini Morogoro, chanzo chatajwa.

In Kitaifa

Watu wanne wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea
eneo la Mkambalani wilayani Morogoro, ikihusisha basi la
Happy Nation lenye namba za usajili T 702 DGF likilokuwa
linatokea Dar es Salaam kuelekea Bukoba na lori la mizigo
lililokuwa linatoka Zambia kwenda Dar es Salaam.


Ajali hiyo imetokea leo Julai 20, 2022 majira ya saa 3:00
asuhubi, ambapo baadhi ya abiria waliokuwa kwenye basi hilo
wamesema kuwa kilichosababisha ni kutozingatiwa kwa sheria
za barabarani,wakiomba jeshi la polisi kitengo cha usalama
barabarani kuongeza umakini ili kupunguza ajali zisizo za
lazima.


Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Morogoro ACP Ralph Meela,
amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambapo chanzo cha ajali
kinadaiwa kuwa ni uzembe wa dereva wa basi hilo ambaye
alikuwa akijaribu kulipita gari lingine bila kuchukua tahadhari
na kusababisha ajali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu