Wapiganaji wa kundi la al-Shabab lenye misimamo mikali ya Kiislamu, waliokuwa wamejihami kwa sialha nzito wameivmia kambi ya kijeshi ya jimbo la Puntland hapo jana, na kuwauwa watu wapatao 70 na kujeruhi wengine kadhaa.

In Kimataifa

Wapiganaji wa kundi la al-Shabab lenye misimamo mikali ya Kiislamu, waliokuwa wamejihami kwa sialha nzito wameivmia kambi ya kijeshi ya jimbo la Puntland hapo jana, na kuwauwa watu wapatao 70 na kujeruhi wengine kadhaa.

Maafisa wamesema ni shambulio baya kuwahi kutokea katika jimbo hilo kwa miaka kadhaa.

Mauaji hayo yalifanyika wakati wanamgambo wa kundi hilo walipouvamia na kuukamata mji wa Af Urur.

Gavana wa jimbo la Gari Yusuf Mohamed ameliambia shirika la habari l Reuters kwamba jeshi la Puntland limeukamata tena mji huo.

Wakazi wa eneo hilo wameripoti kushuhudia machafuko hayo, wakielezea namna wapiganaji wa al-Shabab walivyo wakata vichwa baadhi ya raia wa eneo hilo.

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu