Wapiganaji wa kundi la al-Shabab lenye misimamo mikali ya Kiislamu, waliokuwa wamejihami kwa sialha nzito wameivmia kambi ya kijeshi ya jimbo la Puntland hapo jana, na kuwauwa watu wapatao 70 na kujeruhi wengine kadhaa.

In Kimataifa

Wapiganaji wa kundi la al-Shabab lenye misimamo mikali ya Kiislamu, waliokuwa wamejihami kwa sialha nzito wameivmia kambi ya kijeshi ya jimbo la Puntland hapo jana, na kuwauwa watu wapatao 70 na kujeruhi wengine kadhaa.

Maafisa wamesema ni shambulio baya kuwahi kutokea katika jimbo hilo kwa miaka kadhaa.

Mauaji hayo yalifanyika wakati wanamgambo wa kundi hilo walipouvamia na kuukamata mji wa Af Urur.

Gavana wa jimbo la Gari Yusuf Mohamed ameliambia shirika la habari l Reuters kwamba jeshi la Puntland limeukamata tena mji huo.

Wakazi wa eneo hilo wameripoti kushuhudia machafuko hayo, wakielezea namna wapiganaji wa al-Shabab walivyo wakata vichwa baadhi ya raia wa eneo hilo.

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu