Wapinzani nchini Senegal wamelalamika juu ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo

In Kimataifa

Wapinzani nchini Senegal wamelalamika juu ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo.

Uchaguzi huo uligubikwa na mivutano na kabla ya kufanyika ulikumbwa na ghasia.

Senegal ni nchi inayojulikana kuwa ya amani na demokrasia. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na polisi vituo 147 vya kupigia kura viliharibiwa.

Polisi pia wameeleza kuwa watu watatu wametiwa ndani. Aliyekuwa rais wa Senegal Abdoulaye Wade amemlaumu rais wa sasa Macky Sall kwa kuchochea matatizo katika uchaguzi huo ili kuzuia ushindi wa upinzani.

Matokeo ya awali ya uchaguzi huo yanatarajiwa kutolewa mapema leo. Zaidi ya watu milioni 6.2 waliandikishwa kupiga kura nchini Senegal.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu