Wapinzani nchini Senegal wamelalamika juu ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo

In Kimataifa

Wapinzani nchini Senegal wamelalamika juu ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo.

Uchaguzi huo uligubikwa na mivutano na kabla ya kufanyika ulikumbwa na ghasia.

Senegal ni nchi inayojulikana kuwa ya amani na demokrasia. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na polisi vituo 147 vya kupigia kura viliharibiwa.

Polisi pia wameeleza kuwa watu watatu wametiwa ndani. Aliyekuwa rais wa Senegal Abdoulaye Wade amemlaumu rais wa sasa Macky Sall kwa kuchochea matatizo katika uchaguzi huo ili kuzuia ushindi wa upinzani.

Matokeo ya awali ya uchaguzi huo yanatarajiwa kutolewa mapema leo. Zaidi ya watu milioni 6.2 waliandikishwa kupiga kura nchini Senegal.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu