Washukiwa watano wa tawi la kigaidi la Al-Qaeda wauawa nchini Yemen.

In Kimataifa

Washukiwa watano wa tawi la kigaidi la Al-Qaeda nchini Yemen wameuawa jumapili katika kile kinachoelezwa na mamlaka kuwa shambulizi la anga lililotekelezwa na ndege za Marekani mashariki mwa jiji la Sanaa.

Shambulizi la mapema jumapili lililenga gari lililokuwa likisafirisha silaha katikati mwa jimbo la Marib kutoka Yakla jimboni Baida,kwa mujibu wa jeshi.

Maafisa wamesema gari lilikuwa linamilikiwa na kiongozi mmoja wa Al-Qaeda katika ghuba ya kiarabu ambayo Marekani inalitaja kuwa tawi hatari zaidi lenye msimamo mkali.

Shambulizi la jumapili linakija ikiwa ni masaa 24 kupita baada ya kutekelezwa shambulizi kama hilo lililoua wanamgambo 3 kusini mwa jimbo la Shabwa ambalo limelengwa zaidi na vikosi vya Marekani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu