Washukiwa watano wa tawi la kigaidi la Al-Qaeda wauawa nchini Yemen.

In Kimataifa

Washukiwa watano wa tawi la kigaidi la Al-Qaeda nchini Yemen wameuawa jumapili katika kile kinachoelezwa na mamlaka kuwa shambulizi la anga lililotekelezwa na ndege za Marekani mashariki mwa jiji la Sanaa.

Shambulizi la mapema jumapili lililenga gari lililokuwa likisafirisha silaha katikati mwa jimbo la Marib kutoka Yakla jimboni Baida,kwa mujibu wa jeshi.

Maafisa wamesema gari lilikuwa linamilikiwa na kiongozi mmoja wa Al-Qaeda katika ghuba ya kiarabu ambayo Marekani inalitaja kuwa tawi hatari zaidi lenye msimamo mkali.

Shambulizi la jumapili linakija ikiwa ni masaa 24 kupita baada ya kutekelezwa shambulizi kama hilo lililoua wanamgambo 3 kusini mwa jimbo la Shabwa ambalo limelengwa zaidi na vikosi vya Marekani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu