Wasiopeleka michango ya wafanyakazi NSSF kukiona.

In Kitaifa


Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi,
Vijana na Ajira Mhe Anthony Mavunde ameagiza kukamatwa
kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Knight Support ambayo ni
mwajiri mdaiwa sugu.


Agizo hilo amelitoa baada ya kuongoza kikao kati ya Serikali
kupitia Wizara yake, uongozi wa NSSF na Kampuni hiyo,
kufuatia malalamiko ya wafanyakazi kukatwa makato lakini
hayapelekwi katika mfuko wa hifadhi NSSF.



Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa NSSF William Erio,
amesema kampuni hiyo iliacha kupeleka makato hayo toka
mwaka 2011, jambo lililowalazimu kufungulia kesi mahakamani
dhidi ya kampuni hiyo mwaka 2018.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu