Wastani wa wanafunzi saba hupewa ujauzito kila mwezi katika wilaya ya Rombo mkoa wa Kilimanjaro

In Kitaifa

Wastani wa wanafunzi saba hupewa ujauzito kila mwezi katika wilaya ya Rombo mkoa wa Kilimanjaro kwa kipindi cha miezi sita iliyopita, jambo ambalo linatishia mustakabali wa elimu ya mtoto wa kike wilayani humo.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Mkuu wa wilaya hiyo, Agnes Hokororo hadi kufikia Juni mwaka huu jumla ya wanafunzi 42 wa shule za msingi na sekondari wamekatisha masomo baada ya kupata ujauzito.

Takwimu hizo zimetajwa ni kwa kipindi hadi kufikia shule hizo zinafungwa mwezi mmoja uliopita ambapo mipango imewekwa kufanyiwa tena kwa vipimo kwa wanafunzi wote wa kike mara baada ya kufunguliwa kwa shule za msingi na sekondari Julai 3 mwaka huu.

Amesema pamoja na mimba za utotoni lakini pia katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Julai mwaka huu kumeripotiwa matukio 25 ya ubakaji na nane ya ulawiti, jambo ambalo linaashiria wananchi kukiuka utii wa sheria

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu