Watafiti wagundua kwa nini mtu huchelewa kulala au kutopata usingizi ugenini.

In Afya, Kitaifa

Inawezekana wewe ni mmoja kati wa watu ambao hukosa usingizi kabisa au kushindwa kulala vizuri pindi unapotembelea sehemu tofauti na uliyoizoea.

Yawezekana ikawa ugenini, hotelini au sehemu nyingine na unajiuliza ni kwa sababu ipi inakufanya uchelewe kulala au kutolala kabisa.

Sasa leo wanasayansi wameelezea kuhusu swala hilo, ambapo wakisema husababishwa na ubongo.

Wamesema mtu anapolala ugenini au mahala asipopazoea,nusu ya ubongo wake ndiyo hulala, lakini nusu nyingine inakuwa ‘active’ na hii ni kutokana na mabadiliko ya mazingira.

Unaambiwa jambo hili hupelekea mtu kuchelewa kupata usingizi na huwahi kuamka pengine isivyo kawaida.

Wakati mwingine awapo katikati ya usingizi huweza kushtuka anaposikia milio ya vitu kama ndege, mtu anatembea na vitu vingine vingi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu