Watafiti wagundua kwa nini mtu huchelewa kulala au kutopata usingizi ugenini.

In Afya, Kitaifa

Inawezekana wewe ni mmoja kati wa watu ambao hukosa usingizi kabisa au kushindwa kulala vizuri pindi unapotembelea sehemu tofauti na uliyoizoea.

Yawezekana ikawa ugenini, hotelini au sehemu nyingine na unajiuliza ni kwa sababu ipi inakufanya uchelewe kulala au kutolala kabisa.

Sasa leo wanasayansi wameelezea kuhusu swala hilo, ambapo wakisema husababishwa na ubongo.

Wamesema mtu anapolala ugenini au mahala asipopazoea,nusu ya ubongo wake ndiyo hulala, lakini nusu nyingine inakuwa ‘active’ na hii ni kutokana na mabadiliko ya mazingira.

Unaambiwa jambo hili hupelekea mtu kuchelewa kupata usingizi na huwahi kuamka pengine isivyo kawaida.

Wakati mwingine awapo katikati ya usingizi huweza kushtuka anaposikia milio ya vitu kama ndege, mtu anatembea na vitu vingine vingi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu