Watu 26 wauawa kwa kupigwa risasi kanisani.

In Kimataifa

Watu 26 wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwenye silaha, aliyewafyatulia risasi waumini katika kanisa moja lililopo jimbo la Texas nchini Marekani wakati wa ibada iliyofanyika jana.

Gavana wa jimbo hilo Greg Abbott amethibitisha idadi ya watu waliofariki na kusema kuwa, hilo ni tukio baya zaidi la mauaji ya kutekelezwa kwa kutumia bunduki katika historia ya Texas.

Aidha Rais Donald Trump ambaye yuko ziarani Asia amesema kuwa, tukio la shambulizi hilo halivumiliki na Wamarekani wanatakiwa kupinga kila kitu kinachihusiana na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu