Watu 26 wauawa kwa kupigwa risasi kanisani.

In Kimataifa

Watu 26 wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwenye silaha, aliyewafyatulia risasi waumini katika kanisa moja lililopo jimbo la Texas nchini Marekani wakati wa ibada iliyofanyika jana.

Gavana wa jimbo hilo Greg Abbott amethibitisha idadi ya watu waliofariki na kusema kuwa, hilo ni tukio baya zaidi la mauaji ya kutekelezwa kwa kutumia bunduki katika historia ya Texas.

Aidha Rais Donald Trump ambaye yuko ziarani Asia amesema kuwa, tukio la shambulizi hilo halivumiliki na Wamarekani wanatakiwa kupinga kila kitu kinachihusiana na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu