Watu 3,383 wameuawa huko kasai, kanisa katoliki wamebaini.

In Kimataifa
Kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linasema watu 3,383 wameuawa katika jimbo la Kasai katika jimbo la Kasai tangu mwezi Oktoba mwaka uliopita.
Shirika la Habari la Uingereza la Reuters, limeripoti kuwa takwimu hizo zimepatikana baada ya utafiti wa Kanisa hilo.
Ripoti hii inakuja baada ya Umoja wa Mataifa nao kusema kuwa watu waliopoteza maisha katika kipindi hicho ni zaidi ya 400 baada ya makaburi 20 ya halaiki kugundulika katika jimbo hilo.
Utafiti wa Kanisa Katoliki pia umebaini kuwa vijiji 10 vimeteketezwa moto katika jimbo hilo.
Waasi wa Kamwina Nsapu wamekuwa wakikabiliana na wanajeshi wa serikali katika jimbo hilo.
Maelfu ya watu katika jimbo hilo wameyakimbia makwao huku wengine wakikimbilia nchi jirani ya Angola.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu